BONDIA Twaha Kassim Rubaha juzi usiku alimshinda Abdo Khalid wa Misri Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara na kutetea ubingwa wa UBO Afrika huku akiongeza taji la Mabara la UBO.
Kulikuwa kuna mapambano mengine kadhaa ya utangulizi, likiwemo la bondia 'kichekesho' Karim Mandonga wa Morogoro ambaye kama kawaida lichapwa kwa Knockout (KO) na Salim Abeid wa Tanga. Naye Adam Lazaro alimshinda kwa pointi mkongwe Francis Miyeyusho katika pambano lingine tamu la utangulizi usiku huo. Mtoto wa nyumbani, Mtwara Osama Arabi 'akafundishwa' ndondi na mkongwe wa Emmilian Patrick wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika pambano lililovutia wengi. Joseph Mchapeni akamchapa Paschal Goba kwa pointi katika pambano lingine lililoteka hisia za wengi usiku huo Uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Conor Benn marks return to boxing with points win over Rodolfo Orozco in Orlando while controversy over failed drugs test continues in the UK
-
Benn had been out of the ring for 17 months after failing two drugs tests
in the lead-up to his proposed mega-fight with Chris Eubank Jr in October
of last...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment