TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeshika nafasi ya tatu kwenye michuano ya COSAFA Women’s Senior Championship baada ya kuichapa Namibia mabao 2-1 nchini Afrika Kusini.
Mabao ya Twiga Stars yamefungwa na Christer John dakika ya 12’ na Aisha Juma dakika ya 20, wakati la Namibia limefungwa na Veveziwa Kotjipati dakika ya 88.
0 comments:
Post a Comment