SAFARI ya Geita Gold kwenye michuano ya Afrika imeishia Raundi ya Awali baada ya kutolewa kwa mabao ha ugenini na Al Sahil ya Sudan kufuatia sare ya jumla ya 2-2.
Mechi ya kwanza Geita Gold ilifungwa 1-0 Sudan na leo imeshinda 2-1 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam, hivyo Sahil inasonga mbele kwa faida ya kutikisa nyavu ugenini.
0 comments:
Post a Comment