• HABARI MPYA

    Tuesday, September 06, 2022

    SIMBA SC YAMTUPIA SC VIRAGO MAKI BAADA YA MIEZI MIWILI TU


    KLABU ya Simba imeachana na kocha Mserbia, Zoran Manojlovic ‘Maki’ baada ya miezi miwili tu na ushei ya kuwa kazini.
    Maki alitambulishwa Simba Juni 28, mwaka huu kuchukua nafasi ya Mspaniola, Pablo Franco Martin aliyefukuzwa mwanzoni mwa mwezi huo. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMTUPIA SC VIRAGO MAKI BAADA YA MIEZI MIWILI TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top