TIMU ya Liverpool jana imetandikwa mabao 4-1 na Napoli katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Diego Armando Maradona mjini Napoli.
Mabao ya Napoli yalifungwa na Piotr Zielinski dakika ya tano kwa penalti na 47, Andre-Franck Zambo Anguissa dakika ya 31 na mtokea benchi Giovanni Simeone dakika ya 44, wakati la Liverpool lilifungwa na Luis Diaz dakika ya 49.
0 comments:
Post a Comment