• HABARI MPYA

    Thursday, September 08, 2022

    LIVERPOOL YAKUNG’UTWA 4-1 NA NAPOLI ITALIA


    TIMU ya Liverpool jana imetandikwa mabao 4-1 na Napoli katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Diego Armando Maradona mjini Napoli.
    Mabao ya Napoli yalifungwa na Piotr Zielinski dakika ya tano kwa penalti na 47, Andre-Franck Zambo Anguissa dakika ya 31 na mtokea benchi Giovanni Simeone dakika ya 44, wakati la Liverpool lilifungwa na Luis Diaz dakika ya 49.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAKUNG’UTWA 4-1 NA NAPOLI ITALIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top