• HABARI MPYA

    Thursday, September 29, 2022

    MAREHEMU KIZOTA NA ISSA WAKIWA WILLY MARTIN YANGA 1993


    WACHEZAJI wa Yanga SC mwaka 1993, kutoka kushoto, Said Nassor Mwamba 'Kizota' (marehemu), Willy Martin Mwakagonda 'Gari Kubwa' na Issa Athumani Mgaya (marehemu pia) kabla ya safari kwenda kwenye moja ya mechi zao msimu huo.
      

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAREHEMU KIZOTA NA ISSA WAKIWA WILLY MARTIN YANGA 1993 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top