WENYEJI,Paris St Germain wameanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Juventus katika mchezo wa Kundi H jana Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris.
Mabao yote ya Paris St Germain yamefungwa na mshambuliaji wake nyota na tegemeo, Mfaransa Kylian Mbappe dakika ya tano na 22, wakati la Juve lilefungwa na Weston McKennie dakika ya 53.
0 comments:
Post a Comment