// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KAGERA SUGAR NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAGERA SUGAR NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, September 18, 2022

    KAGERA SUGAR NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE KIRUMBA


    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya bila mabao na Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
    Kila timu inafikisha pointi mbili baada ya awali wote kupoteza mechi mbili mbili na sare moja nyingine moja moja.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR NA DODOMA JIJI HAKUNA MBABE KIRUMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top