KOCHA mpya, Graham Potter ameanza sare ya 1-1 Chelsea dhidi ya RB Salzburg usiku wa Jumatano katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Chelsea walitangulia na bao la Raheem Sterling dakika ya 48, kabla ya Noah Okafor kuisawazishia RB Salzburg dakika ya 75. Chelsea inaendelea kushika mkia Kundi E kwa pointi yake moja nyuma ya RB Salzburg yenye pointi mbili, Dinamo Zagreb pointi tatu na AC Milan pointi nne.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment