• HABARI MPYA

    Sunday, September 18, 2022

    KMKM YAPIGWA 4G, YATUPWA NJE LIGI YA MABINGWA


    TIMU ya KMKM ya Zanzibar imetupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa mabao 4-0 na wenyeji, Al Ahli Tripoli jana Uwanja wa Martyrs of February Jijini, Benghazi nchini Libya.
    Kwa matokeo hayo, KMKM inatolewa kwa jumla ya mabao 6-0 kufuatia kuchapwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Zanzibar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KMKM YAPIGWA 4G, YATUPWA NJE LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top