• HABARI MPYA

    Wednesday, September 28, 2022

    MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC


    MSHAMBULIAJI Mserbia, Dejan Georgejevic ametangaza kuondoka Simba baada ya kuvunjiwa mkataba na klabu hiyo.
    “ Ninathibitisha kwamba Mkataba wangu wa Ajira umesitishwa kwa sababu za haki kutokana na ukiukwaji wa kimsingi wa Mkataba na Klabu,” ameandika Dejan katika ukurasa wake wa Instagram na kuongeza;
    “Asanteni mashabiki kwa support na upendo mlionipa,”.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top