// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, September 28, 2022

    MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC


    MSHAMBULIAJI Mserbia, Dejan Georgejevic ametangaza kuondoka Simba baada ya kuvunjiwa mkataba na klabu hiyo.
    “ Ninathibitisha kwamba Mkataba wangu wa Ajira umesitishwa kwa sababu za haki kutokana na ukiukwaji wa kimsingi wa Mkataba na Klabu,” ameandika Dejan katika ukurasa wake wa Instagram na kuongeza;
    “Asanteni mashabiki kwa support na upendo mlionipa,”.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MSERBIA, DEJAN ATANGAZA KUONDOKA SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top