MSHAMBULIAJI Kylian Mbappe jana amefunga mabao mawili kuiwezesha Paris Saint-Germain kushinda 3-0 ugenini dhidi ya Nantes katika mchezo wa Ligi ya Ufaransa Uwanja wa De la Beaujoire - Louis Fonteneau Jijini Nantes. Mfaransa huyo aalifunga mabao yake dakika za 18 na 54, wakati bao lingine la PSG lilifungwa na Nuno Mendes dakika ya 68 kabla ya Nantes katika mchezo ambao Nantes ilimaliza pungufu Fabio kutolewa kwa kadi nyekundu ya 24.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment