TIMU ya Manchester City imepata ushindi mnono ugenini wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Sevilla katika mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Ramón Sánchez Pizjuán Jijini Sevilla. Mabao ya Man City katika mchezo huo wa kwanza Hatua ya makundi yalifungwa na mshambuliaji mpya, Mnorway Erling Haaland mawili dakika ya 20 na 67, Phil Foden dakika ya 58 na Ruben Dias dakika ya 90.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment