• HABARI MPYA

    Wednesday, September 07, 2022

    MABINGWA WATETEZI REAL MADRID WASHINDA 3-0 GLASGOW


    MABINGWA watetezi, Real Madrid wameanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Kundi F Uwanja wa Kundi F Uwanja wa Venue Celtic Park Jijini Glasgow.
    Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Vinicius Jr dakika ya 56, Luka Modric dakika ya 60 na Eden Hazard dakika ya 77.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA WATETEZI REAL MADRID WASHINDA 3-0 GLASGOW Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top