KIKOSI cha Simba kimewasili salama nchini Malawi kwa ajili ya mchezo wa kwanza Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Nyasa Big Bullets Jumamosi Uwanja wa wa Taifa wa Bingu Jijini Lilongwe.
Katika mchezo huo, Simba itaongozwa na kocha mpya wa Muda, Juma Mgunda kufuatia kuondoka kwa Mserbia, Zoran Manojlovic Maki aliyedumu kwa miezi miwili tu kazini.
0 comments:
Post a Comment