• HABARI MPYA

    Friday, September 09, 2022

    MAN UNITED YASHUSHIWA KIPIGO NYUMBANI EUROPA LEAGUE


    BAO pekee la Brais Mendez kwa penalti dakika ya 59 kwa penalti jana liliipa Real Sociedad ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Kundi E UEFA Europa League Uwanja wa Old Trafford.
    Penalti hiyo ilitolewa baada ya shuti  la mchezaji wa zamani wa Manchester City, David Silva kumbabatiza Lisandro Martinez mgumu na mkononi. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YASHUSHIWA KIPIGO NYUMBANI EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top