BAO pekee la Brais Mendez kwa penalti dakika ya 59 kwa penalti jana liliipa Real Sociedad ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Kundi E UEFA Europa League Uwanja wa Old Trafford.
Penalti hiyo ilitolewa baada ya shuti la mchezaji wa zamani wa Manchester City, David Silva kumbabatiza Lisandro Martinez mgumu na mkononi.
0 comments:
Post a Comment