KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, maarufu kama Taifa Stars kimeondoka Alfajiri ya leo kwenda Libya kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki katika Kalenda ya FIFA dhidi ya wenyeji, Libya na Uganda.
TAIFA STARS YAENDA LIBYA KUWAVAA WENYEJI NA UGANDA
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, maarufu kama Taifa Stars kimeondoka Alfajiri ya leo kwenda Libya kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki katika Kalenda ya FIFA dhidi ya wenyeji, Libya na Uganda.
0 comments:
Post a Comment