GEITA GOLD NA KAGERA SUGAR ZATOA SARE, 1-1 KIRUMBA
WENYEJI, Geita Gold wamelazimishwa sare ya 1-1 na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Kagera Sugar walitangulia na bao Abeid Athumani dakika ya 44, kabla ya Suleiman Ibrahim kuisawazishia Geita Gold dakika ya 74. Ni sare ya pili kwa Geita Gold baada ya awali kupoteza mechi moja mbele ya Simba wako napas 3-0 na kutoa droo na Azam FC mechi zote zikipigwa Dar es Salaam. Kwa Kagera Sugar ni sare ya kwanza baada ya kupoteza mechi zote za awali ugenini mbele ya Simba na Azam FC Jijini Dar es Salaam.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment