• HABARI MPYA

    Friday, September 02, 2022

    DAKTARI WA SIMBA, YASSIN GRMBE AFARIKI DUNIA


    ALIYEWAHI kuwa Daktari wa klabu ya Simba, Yassin Gembe amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
    Hadi anakutwa na umauti, Gembe aliyewahi pia kuwa Daktari wa Mtibwa Sugar, alikuwa anatoa huduma hiyo kwa timu ya vijana.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DAKTARI WA SIMBA, YASSIN GRMBE AFARIKI DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top