// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE NA SINGIDA STARS 1-1 KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEGEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE NA SINGIDA STARS 1-1 KIRUMBA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
GEITA GOLD YALAZIMISHWA SARE NA SINGIDA STARS 1-1 KIRUMBA
TIMU ya Geita Gold imelazimishwa sare ya 1-1 na Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Geita Gold ilitangulia na bao la mfungaji bora wa msimu uliopita, George Mpole dakika ya tisa tu, kabla ya Mbrazil Rodrigo Figueiredo kuisawazishia Singida Big Stars dakika ya 42: Kwa matokeo hayo, Singida Big Stars inafikisha pointi nane na kusogea nafasi ya tano, wakati Geita Gold sasa wana pointi tatu katika nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi nne.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment