• HABARI MPYA

    Saturday, September 17, 2022

    JUMA MWAMBUSI NDIYE KOCHA WA IHEFU SC


    BAADA ya kupoteza mechi zote tatu za mwanzo za Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Ihefu SC imemteua Juma Mwambusi kuwa Kocha Mkuu badala ya Zubery Katwila aliyeshuka na kupanda na timu hiyo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JUMA MWAMBUSI NDIYE KOCHA WA IHEFU SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top