KLABU ya Azam FC inatarajiwa kwenda Jijini Ndola nchini Zambia kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 23, mwaka huu. Mchezo huo unakuja kufuatia mwaliko maalum walioupata kutoka kwa miamba hiyo ya Afrika, ambao wako kambini jijini humo wakijiandaa na msimu mpya. Kikosi cha Azam FC, kinatarajia kusafiri kuelekea nchini humo, Alhamisi kwa ajili ya kwenda kucheza mchezo huo, ambao ni kipimo tosha kwao katika kujiandaa na mechi za Kombe la Shirikisho Afrika.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment