• HABARI MPYA

    Wednesday, September 28, 2022

    TANZANIA YAPATA USHINDI WA KWANZA SOKA LA UFUKWENI COSAFA

    TANZANIA imekaza msuli na kupata ushindi wa kwanza kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya ushindi wa 5-2 dhidi ya Mauritius leo ufukwe wa South Beach nchini Afrika Kusini.
    Ikumbukwe mechi zote mbili za awali Tanzania ilifungwa 4-3 na Misri na 4-2 na Uganda.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAPATA USHINDI WA KWANZA SOKA LA UFUKWENI COSAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top