• HABARI MPYA

    Monday, September 26, 2022

    TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA


    TANZANIA imeendelea kufanya vibaya kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya leo kuchapwa mabao 4-3 na Misri katika ufukwe wa South Beach Arena nchini Afrika Kusini.
    Ikumbukwe mechi ya kwanza Tanzania ilichapwa 4-2 na Uganda juzi hapo hapo South Beach.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top