// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, September 26, 2022

    TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA


    TANZANIA imeendelea kufanya vibaya kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya leo kuchapwa mabao 4-3 na Misri katika ufukwe wa South Beach Arena nchini Afrika Kusini.
    Ikumbukwe mechi ya kwanza Tanzania ilichapwa 4-2 na Uganda juzi hapo hapo South Beach.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top