TANZANIA YAENDELEA KUBORONGA SOKA LA UFUKWENI COSAFA
TANZANIA imeendelea kufanya vibaya kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya leo kuchapwa mabao 4-3 na Misri katika ufukwe wa South Beach Arena nchini Afrika Kusini. Ikumbukwe mechi ya kwanza Tanzania ilichapwa 4-2 na Uganda juzi hapo hapo South Beach.
0 comments:
Post a Comment