WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Ashworth set to take Newcastle to arbitration over Man Utd move
-
Dan Ashworth is set to take Newcastle to arbitration to ensure his move to
become Manchester United's sporting director can go ahead.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment