WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
ESPN analyst says Nets should trade NBA star Ben Simmons as coach rolls his eyes at latest injury
-
A trade for 'unplayable' Australian NBA star Ben Simmons should be
considered by the Brooklyn Nets before the deadline, claims Kendrick
Perkins, as coach r...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment