WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Belgian Pocognoli confirmed as Scotland boss
-
The Scottish FA say they have appointed "one of Europe's brightest emerging
coaching talents" by securing Sebastien Pocognoli as Scotland men's new
head co...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment