WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
NFL Rumors: Jordan Love, Packers Agree to 4-Year, $220M Contract Extension
-
After leading the Green Bay Packers to the playoffs this past season,
quarterback Jordan Love has been rewarded with a new deal. According to
ESPN's Adam…
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment