WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
'I'm back' - record-breaking Ronaldo answers critics
-
Portugal forward Cristiano Ronaldo provides the perfect response to those
that doubted him as he becomes the first player to score at six World Cups.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment