WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Cubs Rumors: Rhys Hoskins Remains in Contact on 1-Year, Multiyear Contract
Proposals
-
The Chicago Cubs and free-agent first baseman Rhys Hoskins reportedly
"remain in contact" as he explores the open market. Jon Morosi of MLB
Network reported…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment