BAO pekee la Mubarak Hamza dakika ya 24 limeipa Coastal Union ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Ushindi huo unaifanya Coastal Union ifikishe pointi 33 na kupanda hadi nafasi ya tisa, wakati Ihefu SC inabaki na pointi zake 33 nafasi ya nane baada ya wote kucheza mechi 28.
Coach Paul Put’s reaction on the CHAN 2024 Draw
-
Uganda Cranes Head Coach Paul Joseph Put expects no pushovers at the CAF
TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) KE.TZ.UG 2024. The gaffer
was ...
Revealed: Why CHAN 2024 was postponed
-
The 2024 African Nations Championship (CHAN) has been postponed, announced
the Confederation of African Football (CAF). It will now kick off in August
20...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment