KLABU ya Simba imefanya marakebisho katika benchi la Ufundi la timu zake za vijana kwa kumteua Suleiman Matola kuwa Kocha Mkuu wa timu zote za Vijana, huku Patrick Rweyemamu akiwa Meneja wa timu hizo.
Matola atafanya kazi juu ya Mussa Hassan Mgosi kocha wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 na Nico Kiondo kocha wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, wote wakiwa chini ya Meneja Rweyemamu.
0 comments:
Post a Comment