// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
INTER MILAN YAICHAPA AC MILAN 2-0 NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEINTER MILAN YAICHAPA AC MILAN 2-0 NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
INTER MILAN YAICHAPA AC MILAN 2-0 NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA
WENYEJI, Inter Milan wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya AC Milan katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milán, Italia usiku wa jana. Mabao ya Inter Milán yamefungwa na Edin Dzeko dakika ya nane na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 11 na timu hizo zitarudiana hapo hapo Mei 16 na mshindi wa jumla atakutana na mshindi wa jumla kati ya Real Madrid na Manchester City, ambazo zilitoka sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza juzi Hispania.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment