// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, May 21, 2023

    MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’


    WENYEJI, Mashujaa wameibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya Pamba FC ya Mwanza katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
    Timu hizo zitarudiana Jumapili ijayo Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza na mshindi wa jumla atamenyana na timu iliyoporomoka kwenye mchujo wa Ligi Kuu kuwania kupanda.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’ Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top