// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’ - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MASHUJAA YAITANDIKA PAMBA 4-0 KIGOMA KUWANIA KUPANDA LIGI KUU ‘MLANGO WA UANI’
WENYEJI, Mashujaa wameibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya Pamba FC ya Mwanza katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Timu hizo zitarudiana Jumapili ijayo Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza na mshindi wa jumla atamenyana na timu iliyoporomoka kwenye mchujo wa Ligi Kuu kuwania kupanda.
Atalanta needs Lookman’s magic – Gasperine
-
•Club coach ponders Injured Nigerian return Atalanta coach Gian Pero
Gasperini is banking on Super Eagles forward Ademola Lookman to lead their
comeback ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment