TIMU ya Yanga imeshindwa kutumia vizuri Uwanja wa nyumbani, Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam baada ya kufungwa mabao 2-1 na USM Alger katika mchezo wa kwanza wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mabao ya USM Alger yamefungwa na mshambuliaji Aimen Mahious dakika ya 32 na kiungo Islam Merili dakika ya 84, wakati la Yanga limefungwa na mshambuliaji wake Mkongo, Fiston Kalala Mayele dakika ya 82. Sasa Yanga wanakabiliwa na mtihani mgumu we kwenda kushinda mabao 2-0 kwenye mchezo wa marudiano Uwanja wa Julai 5, 1962 Jijini Algiers Jumapili ijayo.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment