TIMU ya Mbeya City imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Nyankumbu Girls mjini Geita. Bao pekee la Mbeya City limefungwa na George Sangija dakika ya 57 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 30 na kusogea nafasi ya 12, wakati Geita Gold inabaki na pointi zake 37 nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 28.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment