• HABARI MPYA

    Thursday, May 11, 2023

    KIPA ALLY SALIM AKABIDHIWA TUZO NA MAMILIONI YAKE SIMBA SC


    KIPA Ally Salim akikabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Simba kwa mwezi Aprili mwaka huu, inayoambatana na fedha taslimu Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya Emirate Aluminium Profile.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPA ALLY SALIM AKABIDHIWA TUZO NA MAMILIONI YAKE SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top