TIMU ya Namungo FC imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam. Azam FC ilitangulia kwa bao la kujifunga la beki kutoka Benín, Pertene Counou dakika ya 19, kabla ya Namungo kuzinduka kwa mabao ya Hassan Kabunda dakika ya 25 na Shiza Kichuya dakika ya 54. Kwa ushindi huo, Namungo FC inafikisha pointi 39 na kusogea nafasi ya tano, wakati Azam FC inabaki na pointi zake 53 nafasi ya tatu baada ya wote kucheza mechi 28.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment