// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); FAINALI EUROPA LEAGUE NI ROMA YA MOURINHO NA SEVILLA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE FAINALI EUROPA LEAGUE NI ROMA YA MOURINHO NA SEVILLA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, May 19, 2023

    FAINALI EUROPA LEAGUE NI ROMA YA MOURINHO NA SEVILLA


    TIMU ya AS Roma imefanikiwa kutinga Fainali ya Europa League baada ya sare ya 0-0 na wenyeji, Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu leo usiku wa Alhamisi Uwanja wa BayArena Jijini Leverkusen.
    Timu hiyo ya kocha Mreno, José Mourinho inanufaika na ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Italia na sasa itakutana na Sevilla iliyoitoa Juventus.
    Sevilla imeitoa Juventus kwa jumla ya mabao 3-2 kufuatia ushindi wa 2-1 jana Hispania ikitoka kutoa droo ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Italia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FAINALI EUROPA LEAGUE NI ROMA YA MOURINHO NA SEVILLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top