• HABARI MPYA

    Saturday, October 02, 2021

    WASHINDI KUVUNA MILIONI 15 SPORTPESA

    Washindi wa Jackpot Bonus ya Sportpesawazidi kumiminika- Wiki hii 15,610,066/=.

    Mshindi wa bonus ya Jackpot bwana Yusuph Jaivi kutoka Lindi akishikilia mfano wa hundi ya shilingi 15,610,066 mara baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kwenye Jackpot ya wiki iliyopita.

    KATIKA wiki nyingine tena kampuni ya michezo na burudaniSportpesa imetoa bonus kwa waashindi wake waliobashirikwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kwenye Jackpot yao ya kilawiki.
    Mpaka hivi sasa Jackpot imefika shilingi 537,737,060 ambapokila wiki huongezeka endapo mshindi hatopatikana.
    Wiki iliyopita idadi ya washindi waliobet sahihi mechi 10 walikuwa 660 na kila mmoja aliondoka na Tsh 70,013, waliobet kwa usahihi mechi 11 walikuwa 83 kwa ujumla nakila mmoja akiondoka na kiasi cha shilingi 487,141 na wale waliobet kwa usahihi mechi 12 walishinda 15,610,066 kilammoja.
    Sportpesa huhakikisha washindi hawa wanakabidhiwa pesazao mara tu mech izote zikimalizika na endapo michezoisiyozidi mitatu ikiahirishwa basi droo ya wazi huchezeshwaili kupata matokeo na ikiwa mechi zaidi ya tatu zimeahirishwabasi fedha zote hurudishwa kwenye akaunti ya mteja.


    Waliojishindia 15,610,066 walikuwa nane kutoka sehemumbalimbali nchini ambao ni Richard Magele kutoka Geitakutoka Dar es Salaam ni Sengo Lubasha, MohammedwaseemGjartem na Ramadhan Chiwango, Enock Ernest kutokaMakoko, Musoma, Jabil Mwanjoa, Yusuph Jaivi kutoka Lindina Amin Ally kutoka Kagera mjini.
    Akizungumza mmoja wa washindi wa bonus Yusuph Jaivikutoka Lindi alisema “Mimi ni mkulima wa korosho ambayekupitia bidhaa hii naweza kuongeza pato la taifanimeanzakucheza na Sportpesa ta ngu mwaka 2017 ambapo nadhanikampuni hii ilianzishwa
    Nilitumia tsh 2000 kuweka bet ya Jackpot na kushinda mojakwa moja mechi 12 kati ya 13 na matarajio yangu kupitia hiipesa nitaweza kumuuguza mama yangu ambaye hivi sasamwili umepoozanitaendeleza biashara yangu kwa kununuamazao na nyyingine kuweka kama akiba
    Ndoto yangu kubwa ni kuja kushinda Jackpot maananahakika itanibadilishia masiha yangu moja kwa mojasijawahi kushinda bonus ila nimeshinda hizi bet za kawaidazaidi ya mara 5”
    Akizungumza kutoka Sportpesa Sabrina Msuya, MenejaUhusiano na Mawasiliano alisema “Hivi sasa Jackpot yetuimefika 537,737,060 ambayo ni saw ana nusu bilioni hivyobasi ni wakati mzuri kwa wateja wetu wapya na wanaobet naSportpesa kushiriki vilivyo kuwekeza kwenye kubet Jackpot”
    Kupitia Jackpot mteja anaweza kucheza double combination hadi mechi 7 ambayo inampa nafasi kuchagua matokeo mara mbili kwenye hizo mechi. Vile vile swala la bonus liko pale pale kuanzia mechi 10-12”.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WASHINDI KUVUNA MILIONI 15 SPORTPESA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top