• HABARI MPYA

    Sunday, October 17, 2021

    SARE TUPU MECHI ZA LIGI KUU JUMAMOSI


    TIMU ya Geita Gold imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mtibwa Sugar ya Morogoro katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya Jumamosi Uwanja wa Nyankumbu, Geita.
    Danny Lyanga alianza kuifungia Geita Gold dakika ya 47, kabla ya Boban Zirintusa kuisawazishia Mtibwa Sugar dakika ya 64 katika mchezo ambao kila timu ilipoteza mkwaju wa penalti.
    Na Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, Kagera Sugar ililazimishwa sare ya bila kufungana na Mbeya City.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SARE TUPU MECHI ZA LIGI KUU JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top