KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imesema klabu ambayo haitavaa jezi yenye nembo ya Mdhamini, NBC kuanzia sasa itatozwa faini ya Sh. Milioni 3 kila mchezo na inaweza kuchukuliwa hatua kali ziadi ikiwemo kushushwa Daraja au kufungiwa.
0 comments:
Post a Comment