RAIS WA Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan jana alizungumza kwa simu na wachezaji wa taifa ya wakubwa ya wanawake, Twiga Stars na ya wasichana chini ya umri miaka 20, Tanzanite na kuahidi kuwafanyia jambo akirejea Dar es Salaam. Mama Samia alizungumza na wachezaji hao jana kupitia simu ya Katibu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo wakati wa hafla maalum ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na Serikali kuwapongeza wachezaji hao kwa mafanikio yao. Wakati Twiga Stars ilitwaa ubingwa wa COSAFA Afrika Kusini mwishoni mwa wiki, wadogo zao Tanzanite waliitoa Eritrea katika mbio za kuwania tiketi ya Kombe la Dunia la U20 mwakani Costa Rica.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas ametoa ahadi kwa niaba ya Serikali ya Sh. Milioni 20 kwa Twiga Stars kutwaa ubingwa wa COSAFA na Sh. Milioni 10 kwa Tanzanite kwa kuingia raundi ya Tatu kufuzu Kombe la Dunia.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment