TIMU ya taifa ya England jana jana imewachapa wenyeji, Andorra mabao 5-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Taifa wa Andorra la Vella. Mabao ya England jana yalifungwa na Ben Chilwell dakika ya 17, Bukayo Saka dakika ya 40, Tammy Abraham dakika ya 59. James Ward-Prowse dakika ya 79 na Jack Grealish dakika ya 86, hilo likiwa bao lake la kwanza timu ya taifa na kwa ushindi huo Three Lions wanafikisha pointi 19 na kuendelea kuongoza Kundi hilo.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment