WENYEJI, West Ham United wametinga Robo Fainali ya Kombe la Ligi England baada ya kuitoa Manchester City kwa penalti 5-3 baada ya sare ya 0-0 Uwanja wa London Jijiji London. Waliofunga penalti za West Ham ni Mark Noble, Jarrod Bowen, Craig Dawson, Aaron Cresswell na Said Benrahma, wakati za Man City zilifungwa na João Cancelo, Gabriel Jesus na Jack Grealish baada ya Phil Foden kikosi ya kwanza. Mara ya mwisho Manchester City kutolewa kwenye Carabao Cup ilikuwa ilikuwa Oktoba 26, 2016 walipofungwa na mahasimu wao, Man United.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment