WACHEZAJI wa Yanga jana wameshiriki mazishi ya baba wa mchezaji mwenzao, Paul Godfrey Nyang'anya 'Boxer' aliyefariki Dunia Jumatatu Jijini Dar es Salaam. Msiba huo ulitokea wakati Boxer, beki wa kulia akiwa Songea mkoani Ruvuma na timu kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya KMC uliofanyika Jumanne na Yanga ikashinda 2-0 Uwanja wa Maji Maji.
Na baada ya timu kurejea tu Dar es Salaam Jumatano msafara ukaenda hospitali ya Temeke kuuga mwili wa marehemu kabla ya mazishi jioni yake. Mungu ampumzishe kwa amani marehemu. Amin.
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment