WENYEJI, Chelsea wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao y Chelsea leo yamefungwa na Trevoh Chalobah dakika ya tisa, Timo Werner dakika ya 84 na Ben Chilwell dakika y 89, wakati la Southampton limefungwa na James Ward-Prowse kwa penalti dakika ya 61. The Blues wanapanda kileleni baada y kufikisha pointi 16 katika mchezo wa saba, mbele ya Liverpool yenye pointi 14 sawa na na Manchester United na Everton zinazofuatia.
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment