• HABARI MPYA

    Saturday, October 02, 2021

    CHELSEA YASHINDA 3-1 STAMFORD BRIDGE


    WENYEJI, Chelsea wameibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
    Mabao y Chelsea leo yamefungwa na Trevoh Chalobah dakika ya tisa, Timo Werner dakika ya 84 na Ben Chilwell  dakika y 89, wakati la Southampton limefungwa na James Ward-Prowse kwa penalti dakika ya 61.
    The Blues wanapanda kileleni baada y kufikisha pointi 16 katika mchezo wa saba, mbele ya Liverpool yenye pointi 14 sawa na na Manchester United na Everton zinazofuatia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YASHINDA 3-1 STAMFORD BRIDGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top