• HABARI MPYA

    Saturday, October 16, 2021

    LEICESTER WAITANDIKA MAN UNITED 4-2


    WENYEJI, Leicester City wamewatandika Manchester United mabao 4-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power, Leicester, Leicestershire.
    Mabao ya Leicester City yamefungwa na Youri Tielemans dakika ya 31, Caglar Soyuncu dakika ya 78, Jamie Vardy dakika ya 83 na mshambuliaji Mzambia, Patson Daka dakika ya 90, wakati ya Man United yamefungwa na Mason Greenwood dakika ya 19 na Marcus Rashford dakika ya 82.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER WAITANDIKA MAN UNITED 4-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top