• HABARI MPYA

    Saturday, October 30, 2021

    ARSENAL YAICHAPA LEICESTER 2-0 KING POWER


    MABAO ya Gabriel Magalhães dakika ya tano na  Emile Smith Rowe dakika ya 18 yameipa Arsenal ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power.
    Arsenal inafikisha pointi 17 na kupanda nafasi ya tano, ikiizidi pointi tatu Leicester baada ya wote kucheza mechi 10.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAICHAPA LEICESTER 2-0 KING POWER Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top