BODI ya Ligi ya Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mechi ya Ligi Kuu baina ya mabingwa watetezi, Simba SC na Polisi Tanzania uliokuwa ufanyike Oktoba 20 hadi Oktoba 27. Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo amesema hatua hiyo imefuatia barua ya Simba SC wakiomba mechi hiyo isogezwe kwa sababu wamekosa ndege ya kuwahi kurejea nchini baada ya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Jwaneng Galaxy FC Jijini Gaborone nchini Botswana Jumapili.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment