Diogo Jota akishangilia baada ya kutokea benchi dakika ya 70 kuchukua nafasi ya Roberto Firmino na kuifungia bao la ushindi Liverpool dakika ya 85 ikiwalza West Ham United 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Wagonga Nyundo wa London walitangulia kwa bao la Pablo Fornals dakika ya 10, kabla ya Mohamed Salah kuwasawazishia wenyeji kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment