

Mshambulaji Meddie Kagere akifurahia wakati wa safari ya kwenda Dodoma kwa basi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania kesho

Kiungo Clatous Chama akifurahia wakati wa safari ya kwenda Dodoma kwa basi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania kesho

Beki Shomari Kapombe akifurahia wakati wa safari ya kwenda Dodoma kwa basi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania kesho
0 maoni:
Chapisha Maoni