• HABARI MPYA

    Friday, October 30, 2020

    MORRISON KUWA NDUGU MTAZAMAJI SIMBA NA YANGA NOVEMBA 7, AFUNGIWA MECHI TATU KWA KULETA UBONDIA KWENYE SOKA


    WINGA Mghana wa Simba SC ataukosa mchezo dhidi ya mahasimu na timu yake ya zamani, Yanga SC Novemba 7 baada ya kufungiwa mechi tatu kwa kumpiga ngumi beki wa Ruvu Shooting, Juma Said Nyosso.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MORRISON KUWA NDUGU MTAZAMAJI SIMBA NA YANGA NOVEMBA 7, AFUNGIWA MECHI TATU KWA KULETA UBONDIA KWENYE SOKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top