KAPTENI WA TAIFA STARS MBWANA SAMATTA ALIVYOWAONGOZA WACHEZAJI WENZAKE MAZOEZINI LEO
Mshambuliaji wa Fenerbahce ya Uturuki na Nahodha wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwaongoza wachezaji wenzake mazoezini Uwanja wa Benjamin Mkapa leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi Jumapili
Beki wa Yanga SC, Bakari Nondo Mwamnyeto akiwa mazoezini Taifa Stars kujiandaa kuwakamili Int'hamba Murugamba
Kipa wa Yanga SC, Netacha Mnata (kulia) akiwa mazoezini Taifa Stars leo asubuhi Uwanja wa Benjamin Mkapa
All you need to know about the 2026 Irish Open
-
BBC Sport looks ahead to the 2026 Irish Open as Rory McIlroy defends his
title at Trump International Golf Links & Hotel in Doonbeg, County Clare.
0 comments:
Post a Comment