• HABARI MPYA

    Saturday, October 24, 2020

    CHELSEA WANYIMWA PENALTI WAKITOA SULUHU NA MAN UNITED


    Harry Maguire wa Manchester United akimdhibiti Cesar Azpilicueta wa Chelsea kwenye eneo la penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. The Blues walilalamika kunyimwa penalti kwa tukio hilo
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA WANYIMWA PENALTI WAKITOA SULUHU NA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top